MTIHANI MPYA KIDATO CHA NNE

By Unknown - Friday, 9 May 2014 No Comments



Wanafunzi wa Kidato cha Nne, watafanya mitihani miwili ya taifa ya Taifa mwaka huu, baada ya kuongezwa mtihani wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), ambao utatumika kuwapima walivyojiandaa na Mtihani wa Taifa wa Kumaliza Elimu ya Sekondari.

Tags:

No Comment to " MTIHANI MPYA KIDATO CHA NNE "